Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/7

الفاتحة

Al-Fatihah

Fâtiha

Makkiyya·Aya 7
1:1
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ﴿١﴾

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

—
1:2
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ﴿٢﴾

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;

—
1:3
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ﴿٣﴾

Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;

—
1:4
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

مَـٰلِكِ يَوْمِ ٱلدِّينِ﴿٤﴾

Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.

—
1:5
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ﴿٥﴾

Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

—
1:6
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

ٱهْدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلْمُسْتَقِيمَ﴿٦﴾

Tuongoe njia iliyo nyooka,

—
1:7
Juz 1 · Hizb 1 · Ukurasa 1

صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ ٱلْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ﴿٧﴾

Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

—
Aya InayofuataAl-Baqarah