Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/3

النصر

An-Nasr

Nasr

Madaniyya·Aya 3

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

110:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 603

إِذَا جَآءَ نَصْرُ ٱللَّهِ وَٱلْفَتْحُ﴿١﴾

Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

—
110:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 603

وَرَأَيْتَ ٱلنَّاسَ يَدْخُلُونَ فِى دِينِ ٱللَّهِ أَفْوَاجًا﴿٢﴾

Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

—
110:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 603

فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَٱسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابًۢا﴿٣﴾

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.

—
Aya IliyotanguliaAl-KafirunAya InayofuataAl-Masad