يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا۟ مِنَ ٱلنَّارِ وَمَا هُم بِخَـٰرِجِينَ مِنْهَا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ﴿٣٧﴾
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
—Al-Ma'idah - 5:37
يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا۟ مِنَ ٱلنَّارِ وَمَا هُم بِخَـٰرِجِينَ مِنْهَا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.