Inapakia...
Mandhari ya Siku ya Hukumu na akhera
إِذَا وَقَعَتِ ٱلْوَاقِعَةُ
Litakapo tukia hilo Tukio
لَيْسَ لِوَقْعَتِهَا كَاذِبَةٌ
Hapana cha kukanusha kutukia kwake.
خَافِضَةٌ رَّافِعَةٌ
Literemshalo linyanyualo,
إِذَا رُجَّتِ ٱلْأَرْضُ رَجًّا
Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso,
وَكُنتُمْ أَزْوَٰجًا ثَلَـٰثَةً
Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
فَأَصْحَـٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ مَآ أَصْحَـٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلسَّـٰبِقُونَ
Na wa mbele watakuwa mbele.
أُو۟لَـٰٓئِكَ ٱلْمُقَرَّبُونَ
Hao ndio watakao karibishwa
فِى جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ
Katika Bustani zenye neema.
عَلَىٰ سُرُرٍ مَّوْضُونَةٍ
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
Verse 23+ ...