حَتَّىٰٓ إِذَا فُتِحَتْ يَأْجُوجُ وَمَأْجُوجُ وَهُم مِّن كُلِّ حَدَبٍ يَنسِلُونَ﴿٩٦﴾
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
—Al-Anbya - 21:96
حَتَّىٰٓ إِذَا فُتِحَتْ يَأْجُوجُ وَمَأْجُوجُ وَهُم مِّن كُلِّ حَدَبٍ يَنسِلُونَ
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;