Inapakia...
Usemi mzuri zaidi wa rehema isiyo na mwisho ya Allah
ٱلرَّحْمَـٰنُ
Arrah'man, Mwingi wa Rehema
عَلَّمَ ٱلْقُرْءَانَ
Amefundisha Qur'ani.
خَلَقَ ٱلْإِنسَـٰنَ
Amemuumba mwanaadamu,
عَلَّمَهُ ٱلْبَيَانَ
Akamfundisha kubaini.
ٱلشَّمْسُ وَٱلْقَمَرُ بِحُسْبَانٍ
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
وَٱلنَّجْمُ وَٱلشَّجَرُ يَسْجُدَانِ
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
وَٱلسَّمَآءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ ٱلْمِيزَانَ
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
أَلَّا تَطْغَوْا۟ فِى ٱلْمِيزَانِ
Ili msidhulumu katika mizani.
وَأَقِيمُوا۟ ٱلْوَزْنَ بِٱلْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا۟ ٱلْمِيزَانَ
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
فَبِأَىِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
Verse 16+ ...