Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/8

التكاثر

At-Takathur

Tekâsür

Makkiyya·Aya 8

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

102:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

أَلْهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ﴿١﴾

Kumekushughulisheni kutafuta wingi,

—
102:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

حَتَّىٰ زُرْتُمُ ٱلْمَقَابِرَ﴿٢﴾

Mpaka mje makaburini!

—
102:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ﴿٣﴾

Sivyo hivyo! Mtakuja jua!

—
102:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ﴿٤﴾

Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!

—
102:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ ٱلْيَقِينِ﴿٥﴾

Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,

—
102:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

لَتَرَوُنَّ ٱلْجَحِيمَ﴿٦﴾

Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!

—
102:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ ٱلْيَقِينِ﴿٧﴾

Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.

—
102:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

ثُمَّ لَتُسْـَٔلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ﴿٨﴾

Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.

—
Aya IliyotanguliaAl-Qari'ahAya InayofuataAl-'Asr