Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/9

الهمزة

Al-Humazah

Hümeze

Makkiyya·Aya 9

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

104:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ﴿١﴾

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

—
104:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُۥ﴿٢﴾

Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

—
104:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ﴿٣﴾

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

—
104:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ﴿٤﴾

Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

—
104:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ﴿٥﴾

Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?

—
104:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ﴿٦﴾

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.

—
104:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ﴿٧﴾

Ambao unapanda nyoyoni.

—
104:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌ﴿٨﴾

Hakika huo utafungiwa nao

—
104:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

فِى عَمَدٍ مُّمَدَّدَةٍۭ﴿٩﴾

Kwenye nguzo zilio nyooshwa.

—
Aya IliyotanguliaAl-'AsrAya InayofuataAl-Fil