Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/5

الفيل

Al-Fil

Fîl

Makkiyya·Aya 5

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

105:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَـٰبِ ٱلْفِيلِ﴿١﴾

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

—
105:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍ﴿٢﴾

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

—
105:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ﴿٣﴾

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

—
105:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍ مِّن سِجِّيلٍ﴿٤﴾

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

—
105:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 601

فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍ مَّأْكُولٍۭ﴿٥﴾

Akawafanya kama majani yaliyo liwa!

—
Aya IliyotanguliaAl-HumazahAya InayofuataQuraysh