Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/29

التكوير

At-Takwir

Tekvîr

Makkiyya·Aya 29

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

81:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

إِذَا ٱلشَّمْسُ كُوِّرَتْ﴿١﴾

Jua litakapo kunjwa,

—
81:2
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلنُّجُومُ ٱنكَدَرَتْ﴿٢﴾

Na nyota zikazimwa,

—
81:3
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْجِبَالُ سُيِّرَتْ﴿٣﴾

Na milima ikaondolewa,

—
81:4
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْعِشَارُ عُطِّلَتْ﴿٤﴾

Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,

—
81:5
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْوُحُوشُ حُشِرَتْ﴿٥﴾

Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,

—
81:6
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْبِحَارُ سُجِّرَتْ﴿٦﴾

Na bahari zikawaka moto,

—
81:7
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلنُّفُوسُ زُوِّجَتْ﴿٧﴾

Na nafsi zikaunganishwa,

—
81:8
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْمَوْءُۥدَةُ سُئِلَتْ﴿٨﴾

Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,

—
81:9
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

بِأَىِّ ذَنۢبٍ قُتِلَتْ﴿٩﴾

Kwa kosa gani aliuliwa?

—
81:10
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلصُّحُفُ نُشِرَتْ﴿١٠﴾

Na madaftari yatakapo enezwa,

—
81:11
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ كُشِطَتْ﴿١١﴾

Na mbingu itapo tanduliwa,

—
81:12
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْجَحِيمُ سُعِّرَتْ﴿١٢﴾

Na Jahannamu itapo chochewa,

—
81:13
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَإِذَا ٱلْجَنَّةُ أُزْلِفَتْ﴿١٣﴾

Na Pepo ikasogezwa,

—
81:14
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّآ أَحْضَرَتْ﴿١٤﴾

Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.

—
81:15
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

فَلَآ أُقْسِمُ بِٱلْخُنَّسِ﴿١٥﴾

Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,

—
81:16
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

ٱلْجَوَارِ ٱلْكُنَّسِ﴿١٦﴾

Zinazo kwenda, kisha zikajificha,

—
81:17
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَٱلَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ﴿١٧﴾

Na kwa usiku unapo pungua,

—
81:18
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَٱلصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ﴿١٨﴾

Na kwa asubuhi inapo pambazuka,

—
81:19
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

إِنَّهُۥ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ﴿١٩﴾

Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,

—
81:20
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

ذِى قُوَّةٍ عِندَ ذِى ٱلْعَرْشِ مَكِينٍ﴿٢٠﴾

Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,

—
81:21
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

مُّطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ﴿٢١﴾

Anaye t'iiwa, tena muaminifu.

—
81:22
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجْنُونٍ﴿٢٢﴾

Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.

—
81:23
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَلَقَدْ رَءَاهُ بِٱلْأُفُقِ ٱلْمُبِينِ﴿٢٣﴾

Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.

—
81:24
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَمَا هُوَ عَلَى ٱلْغَيْبِ بِضَنِينٍ﴿٢٤﴾

Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.

—
81:25
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَـٰنٍ رَّجِيمٍ﴿٢٥﴾

Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.

—
81:26
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

فَأَيْنَ تَذْهَبُونَ﴿٢٦﴾

Basi mnakwenda wapi?

—
81:27
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَـٰلَمِينَ﴿٢٧﴾

Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.

—
81:28
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

لِمَن شَآءَ مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ﴿٢٨﴾

Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa.

—
81:29
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 586

وَمَا تَشَآءُونَ إِلَّآ أَن يَشَآءَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلْعَـٰلَمِينَ﴿٢٩﴾

Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.

—
Aya IliyotanguliaAbasaAya InayofuataAl-Infitar