Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/19

الانفطار

Al-Infitar

İnfitâr

Makkiyya·Aya 19

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

82:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنفَطَرَتْ﴿١﴾

Mbingu itapo chanika,

—
82:2
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِذَا ٱلْكَوَاكِبُ ٱنتَثَرَتْ﴿٢﴾

Na nyota zitapo tawanyika,

—
82:3
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِذَا ٱلْبِحَارُ فُجِّرَتْ﴿٣﴾

Na bahari zitakapo pasuliwa,

—
82:4
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِذَا ٱلْقُبُورُ بُعْثِرَتْ﴿٤﴾

Na makaburi yatapo fukuliwa,

—
82:5
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّا قَدَّمَتْ وَأَخَّرَتْ﴿٥﴾

Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.

—
82:6
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْإِنسَـٰنُ مَا غَرَّكَ بِرَبِّكَ ٱلْكَرِيمِ﴿٦﴾

Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?

—
82:7
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

ٱلَّذِى خَلَقَكَ فَسَوَّىٰكَ فَعَدَلَكَ﴿٧﴾

Aliye kuumba, akakuweka sawa, akakunyoosha,

—
82:8
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

فِىٓ أَىِّ صُورَةٍ مَّا شَآءَ رَكَّبَكَ﴿٨﴾

Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.

—
82:9
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

كَلَّا بَلْ تُكَذِّبُونَ بِٱلدِّينِ﴿٩﴾

Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.

—
82:10
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِنَّ عَلَيْكُمْ لَحَـٰفِظِينَ﴿١٠﴾

Na hakika bila ya shaka wapo walinzi juu yenu,

—
82:11
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

كِرَامًا كَـٰتِبِينَ﴿١١﴾

Waandishi wenye hishima,

—
82:12
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

يَعْلَمُونَ مَا تَفْعَلُونَ﴿١٢﴾

Wanayajua mnayo yatenda.

—
82:13
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

إِنَّ ٱلْأَبْرَارَ لَفِى نَعِيمٍ﴿١٣﴾

Hakika wema bila ya shaka watakuwa katika neema,

—
82:14
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِنَّ ٱلْفُجَّارَ لَفِى جَحِيمٍ﴿١٤﴾

Na hakika waovu bila ya shaka watakuwa Motoni;

—
82:15
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

يَصْلَوْنَهَا يَوْمَ ٱلدِّينِ﴿١٥﴾

Wataingia humo Siku ya Malipo.

—
82:16
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَمَا هُمْ عَنْهَا بِغَآئِبِينَ﴿١٦﴾

Na hawatoacha kuwamo humo.

—
82:17
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا يَوْمُ ٱلدِّينِ﴿١٧﴾

Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

—
82:18
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

ثُمَّ مَآ أَدْرَىٰكَ مَا يَوْمُ ٱلدِّينِ﴿١٨﴾

Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

—
82:19
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

يَوْمَ لَا تَمْلِكُ نَفْسٌ لِّنَفْسٍ شَيْـًٔا ۖ وَٱلْأَمْرُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ﴿١٩﴾

Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.

—
Aya IliyotanguliaAt-TakwirAya InayofuataAl-Mutaffifin