Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/20

البلد

Al-Balad

Beled

Makkiyya·Aya 20

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

90:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

لَآ أُقْسِمُ بِهَـٰذَا ٱلْبَلَدِ﴿١﴾

Naapa kwa Mji huu!

—
90:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

وَأَنتَ حِلٌّۢ بِهَـٰذَا ٱلْبَلَدِ﴿٢﴾

Nawe unaukaa Mji huu.

—
90:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ﴿٣﴾

Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.

—
90:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَـٰنَ فِى كَبَدٍ﴿٤﴾

Hakika tumemuumba mtu katika taabu.

—
90:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أَيَحْسَبُ أَن لَّن يَقْدِرَ عَلَيْهِ أَحَدٌ﴿٥﴾

Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?

—
90:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُّبَدًا﴿٦﴾

Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.

—
90:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أَيَحْسَبُ أَن لَّمْ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ﴿٧﴾

Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?

—
90:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أَلَمْ نَجْعَل لَّهُۥ عَيْنَيْنِ﴿٨﴾

Kwani hatukumpa macho mawili?

—
90:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ﴿٩﴾

Na ulimi, na midomo miwili?

—
90:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

وَهَدَيْنَـٰهُ ٱلنَّجْدَيْنِ﴿١٠﴾

Na tukambainishia zote njia mbili?

—
90:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

فَلَا ٱقْتَحَمَ ٱلْعَقَبَةَ﴿١١﴾

Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

—
90:12
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْعَقَبَةُ﴿١٢﴾

Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

—
90:13
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

فَكُّ رَقَبَةٍ﴿١٣﴾

Kumkomboa mtumwa;

—
90:14
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أَوْ إِطْعَـٰمٌ فِى يَوْمٍ ذِى مَسْغَبَةٍ﴿١٤﴾

Au kumlisha siku ya njaa

—
90:15
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

يَتِيمًا ذَا مَقْرَبَةٍ﴿١٥﴾

Yatima aliye jamaa,

—
90:16
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أَوْ مِسْكِينًا ذَا مَتْرَبَةٍ﴿١٦﴾

Au masikini aliye vumbini.

—
90:17
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْمَرْحَمَةِ﴿١٧﴾

Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.

—
90:18
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 594

أُو۟لَـٰٓئِكَ أَصْحَـٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ﴿١٨﴾

Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.

—
90:19
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِـَٔايَـٰتِنَا هُمْ أَصْحَـٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ﴿١٩﴾

Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

—
90:20
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

عَلَيْهِمْ نَارٌ مُّؤْصَدَةٌۢ﴿٢٠﴾

Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.

—
Aya IliyotanguliaAl-FajrAya InayofuataAsh-Shams