Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/15

الشمس

Ash-Shams

Şems

Makkiyya·Aya 15

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

91:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلشَّمْسِ وَضُحَىٰهَا﴿١﴾

Naapa kwa jua na mwangaza wake!

—
91:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلْقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا﴿٢﴾

Na kwa mwezi unapo lifuatia!

—
91:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا﴿٣﴾

Na kwa mchana unapo lidhihirisha!

—
91:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰهَا﴿٤﴾

Na kwa usiku unapo lifunika!

—
91:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا﴿٥﴾

Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!

—
91:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَٱلْأَرْضِ وَمَا طَحَىٰهَا﴿٦﴾

Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!

—
91:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَنَفْسٍ وَمَا سَوَّىٰهَا﴿٧﴾

Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!

—
91:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

فَأَلْهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقْوَىٰهَا﴿٨﴾

Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,

—
91:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

قَدْ أَفْلَحَ مَن زَكَّىٰهَا﴿٩﴾

Hakika amefanikiwa aliye itakasa,

—
91:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا﴿١٠﴾

Na hakika amekhasiri aliye iviza.

—
91:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَىٰهَآ﴿١١﴾

Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,

—
91:12
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشْقَىٰهَا﴿١٢﴾

Alipo simama mwovu wao mkubwa,

—
91:13
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقْيَـٰهَا﴿١٣﴾

Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.

—
91:14
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمْ فَسَوَّىٰهَا﴿١٤﴾

Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.

—
91:15
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 595

وَلَا يَخَافُ عُقْبَـٰهَا﴿١٥﴾

Wala Yeye haogopi matokeo yake.

—
Aya IliyotanguliaAl-BaladAya InayofuataAl-Layl