Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/7

الماعون

Al-Ma'un

Mâûn

Makkiyya·Aya 7

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

107:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

أَرَءَيْتَ ٱلَّذِى يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ﴿١﴾

Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?

—
107:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

فَذَٰلِكَ ٱلَّذِى يَدُعُّ ٱلْيَتِيمَ﴿٢﴾

Huyo ndiye anaye msukuma yatima,

—
107:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلْمِسْكِينِ﴿٣﴾

Wala hahimizi kumlisha masikini.

—
107:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

فَوَيْلٌ لِّلْمُصَلِّينَ﴿٤﴾

Basi, ole wao wanao sali,

—
107:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

ٱلَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ﴿٥﴾

Ambao wanapuuza Sala zao;

—
107:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

ٱلَّذِينَ هُمْ يُرَآءُونَ﴿٦﴾

Ambao wanajionyesha,

—
107:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 602

وَيَمْنَعُونَ ٱلْمَاعُونَ﴿٧﴾

Nao huku wanazuia msaada.

—
Aya IliyotanguliaQurayshAya InayofuataAl-Kawthar