Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/5

الفلق

Al-Falaq

Felâk

Makkiyya·Aya 5

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

113:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ﴿١﴾

Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,

—
113:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ﴿٢﴾

Na shari ya alivyo viumba,

—
113:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ﴿٣﴾

Na shari ya giza la usiku liingiapo,

—
113:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّـٰثَـٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ﴿٤﴾

Na shari ya wanao pulizia mafundoni,

—
113:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ﴿٥﴾

Na shari ya hasidi anapo husudu.

—
Aya IliyotanguliaAl-IkhlasAya InayofuataAn-Nas