Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/182

الصافات

As-Saffat

Sâffât

Makkiyya·Aya 182

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

37:1
Juz 23
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَٱلصَّـٰٓفَّـٰتِ صَفًّا﴿١﴾

Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.

—
37:2
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

فَٱلزَّٰجِرَٰتِ زَجْرًا﴿٢﴾

Na kwa wenye kukataza mabaya.

—
37:3
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

فَٱلتَّـٰلِيَـٰتِ ذِكْرًا﴿٣﴾

Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.

—
37:4
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

إِنَّ إِلَـٰهَكُمْ لَوَٰحِدٌ﴿٤﴾

Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.

—
37:5
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

رَّبُّ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا وَرَبُّ ٱلْمَشَـٰرِقِ﴿٥﴾

Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote.

—
37:6
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

إِنَّا زَيَّنَّا ٱلسَّمَآءَ ٱلدُّنْيَا بِزِينَةٍ ٱلْكَوَاكِبِ﴿٦﴾

Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.

—
37:7
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَحِفْظًا مِّن كُلِّ شَيْطَـٰنٍ مَّارِدٍ﴿٧﴾

Na kulinda na kila shet'ani a'si.

—
37:8
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى ٱلْمَلَإِ ٱلْأَعْلَىٰ وَيُقْذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٍ﴿٨﴾

Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande.

—
37:9
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ﴿٩﴾

Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.

—
37:10
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

إِلَّا مَنْ خَطِفَ ٱلْخَطْفَةَ فَأَتْبَعَهُۥ شِهَابٌ ثَاقِبٌ﴿١٠﴾

Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.

—
37:11
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

فَٱسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَآ ۚ إِنَّا خَلَقْنَـٰهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍۭ﴿١١﴾

Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.

—
37:12
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ﴿١٢﴾

Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.

—
37:13
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَإِذَا ذُكِّرُوا۟ لَا يَذْكُرُونَ﴿١٣﴾

Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.

—
37:14
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَإِذَا رَأَوْا۟ ءَايَةً يَسْتَسْخِرُونَ﴿١٤﴾

Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

—
37:15
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَقَالُوٓا۟ إِنْ هَـٰذَآ إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ﴿١٥﴾

Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.

—
37:16
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

أَءِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَـٰمًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ﴿١٦﴾

Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?

—
37:17
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

أَوَءَابَآؤُنَا ٱلْأَوَّلُونَ﴿١٧﴾

Hata baba zetu wa zamani?

—
37:18
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

قُلْ نَعَمْ وَأَنتُمْ دَٰخِرُونَ﴿١٨﴾

Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.

—
37:19
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

فَإِنَّمَا هِىَ زَجْرَةٌ وَٰحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ﴿١٩﴾

Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!

—
37:20
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَقَالُوا۟ يَـٰوَيْلَنَا هَـٰذَا يَوْمُ ٱلدِّينِ﴿٢٠﴾

Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.

—
37:21
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

هَـٰذَا يَوْمُ ٱلْفَصْلِ ٱلَّذِى كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ﴿٢١﴾

Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

—
37:22
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

۞ ٱحْشُرُوا۟ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوا۟ وَأَزْوَٰجَهُمْ وَمَا كَانُوا۟ يَعْبُدُونَ﴿٢٢﴾

Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -

—
37:23
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

مِن دُونِ ٱللَّهِ فَٱهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلْجَحِيمِ﴿٢٣﴾

Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

—
37:24
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 446

وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْـُٔولُونَ﴿٢٤﴾

Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:

—
37:25
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

مَا لَكُمْ لَا تَنَاصَرُونَ﴿٢٥﴾

Mna nini? Mbona hamsaidiani?

—
37:26
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

بَلْ هُمُ ٱلْيَوْمَ مُسْتَسْلِمُونَ﴿٢٦﴾

Bali hii leo, watasalimu amri.

—
37:27
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَآءَلُونَ﴿٢٧﴾

Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.

—
37:28
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

قَالُوٓا۟ إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ ٱلْيَمِينِ﴿٢٨﴾

Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.

—
37:29
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

قَالُوا۟ بَل لَّمْ تَكُونُوا۟ مُؤْمِنِينَ﴿٢٩﴾

Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.

—
37:30
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

وَمَا كَانَ لَنَا عَلَيْكُم مِّن سُلْطَـٰنٍۭ ۖ بَلْ كُنتُمْ قَوْمًا طَـٰغِينَ﴿٣٠﴾

Sisi hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa wapotovu.

—
37:31
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فَحَقَّ عَلَيْنَا قَوْلُ رَبِّنَآ ۖ إِنَّا لَذَآئِقُونَ﴿٣١﴾

Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.

—
37:32
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فَأَغْوَيْنَـٰكُمْ إِنَّا كُنَّا غَـٰوِينَ﴿٣٢﴾

Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.

—
37:33
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فَإِنَّهُمْ يَوْمَئِذٍ فِى ٱلْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ﴿٣٣﴾

Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.

—
37:34
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِٱلْمُجْرِمِينَ﴿٣٤﴾

Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.

—
37:35
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

إِنَّهُمْ كَانُوٓا۟ إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا ٱللَّهُ يَسْتَكْبِرُونَ﴿٣٥﴾

Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.

—
37:36
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُوٓا۟ ءَالِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍۭ﴿٣٦﴾

Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

—
37:37
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

بَلْ جَآءَ بِٱلْحَقِّ وَصَدَّقَ ٱلْمُرْسَلِينَ﴿٣٧﴾

Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.

—
37:38
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

إِنَّكُمْ لَذَآئِقُوا۟ ٱلْعَذَابِ ٱلْأَلِيمِ﴿٣٨﴾

Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.

—
37:39
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ﴿٣٩﴾

Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.

—
37:40
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ﴿٤٠﴾

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

—
37:41
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

أُو۟لَـٰٓئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ﴿٤١﴾

Hao ndio watakao pata riziki maalumu,

—
37:42
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فَوَٰكِهُ ۖ وَهُم مُّكْرَمُونَ﴿٤٢﴾

Matunda, nao watahishimiwa.

—
37:43
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فِى جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ﴿٤٣﴾

Katika Bustani za neema.

—
37:44
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَـٰبِلِينَ﴿٤٤﴾

Wako juu ya viti wamekabiliana.

—
37:45
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

يُطَافُ عَلَيْهِم بِكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍۭ﴿٤٥﴾

Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem

—
37:46
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

بَيْضَآءَ لَذَّةٍ لِّلشَّـٰرِبِينَ﴿٤٦﴾

Kinywaji cheupe, kitamu kwa wanywao.

—
37:47
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

لَا فِيهَا غَوْلٌ وَلَا هُمْ عَنْهَا يُنزَفُونَ﴿٤٧﴾

Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.

—
37:48
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

وَعِندَهُمْ قَـٰصِرَٰتُ ٱلطَّرْفِ عِينٌ﴿٤٨﴾

Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.

—
37:49
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

كَأَنَّهُنَّ بَيْضٌ مَّكْنُونٌ﴿٤٩﴾

Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.

—
37:50
Juz 23 · Hizb 45 · Ukurasa 447

فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَآءَلُونَ﴿٥٠﴾

Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

—
Aya IliyotanguliaYa-SinAya InayofuataSad