Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/25

الانشقاق

Al-Inshiqaq

İnşikâk

Makkiyya·Aya 25

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

84:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنشَقَّتْ﴿١﴾

Itapo chanika mbingu,

—
84:2
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ﴿٢﴾

Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,

—
84:3
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَإِذَا ٱلْأَرْضُ مُدَّتْ﴿٣﴾

Na ardhi itakapo tanuliwa,

—
84:4
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَأَلْقَتْ مَا فِيهَا وَتَخَلَّتْ﴿٤﴾

Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,

—
84:5
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ﴿٥﴾

Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,

—
84:6
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْإِنسَـٰنُ إِنَّكَ كَادِحٌ إِلَىٰ رَبِّكَ كَدْحًا فَمُلَـٰقِيهِ﴿٦﴾

Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.

—
84:7
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَـٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ﴿٧﴾

Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,

—
84:8
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًا يَسِيرًا﴿٨﴾

Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi,

—
84:9
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَيَنقَلِبُ إِلَىٰٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًا﴿٩﴾

Na arudi kwa ahali zake na furaha.

—
84:10
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَـٰبَهُۥ وَرَآءَ ظَهْرِهِۦ﴿١٠﴾

Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,

—
84:11
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَسَوْفَ يَدْعُوا۟ ثُبُورًا﴿١١﴾

Basi huyo ataomba kuteketea.

—
84:12
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا﴿١٢﴾

Na ataingia Motoni.

—
84:13
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

إِنَّهُۥ كَانَ فِىٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًا﴿١٣﴾

Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.

—
84:14
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

إِنَّهُۥ ظَنَّ أَن لَّن يَحُورَ﴿١٤﴾

Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.

—
84:15
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

بَلَىٰٓ إِنَّ رَبَّهُۥ كَانَ بِهِۦ بَصِيرًا﴿١٥﴾

Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!

—
84:16
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَلَآ أُقْسِمُ بِٱلشَّفَقِ﴿١٦﴾

Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,

—
84:17
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَٱلَّيْلِ وَمَا وَسَقَ﴿١٧﴾

Na kwa usiku na unavyo vikusanya,

—
84:18
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَٱلْقَمَرِ إِذَا ٱتَّسَقَ﴿١٨﴾

Na kwa mwezi unapo pevuka,

—
84:19
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

لَتَرْكَبُنَّ طَبَقًا عَن طَبَقٍ﴿١٩﴾

Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!

—
84:20
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَمَا لَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ﴿٢٠﴾

Basi wana nini hawaamini?

—
84:21۩
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَإِذَا قُرِئَ عَلَيْهِمُ ٱلْقُرْءَانُ لَا يَسْجُدُونَ ۩﴿٢١﴾

Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?

—
84:22
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ يُكَذِّبُونَ﴿٢٢﴾

Bali walio kufuru wanakanusha tu.

—
84:23
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

وَٱللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا يُوعُونَ﴿٢٣﴾

Na Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria.

—
84:24
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ﴿٢٤﴾

Basi wabashirie adhabu chungu!

—
84:25
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 590

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ لَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۭ﴿٢٥﴾

Isipo kuwa wale walio amini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usio malizika.

—
Aya IliyotanguliaAl-MutaffifinAya InayofuataAl-Buruj