Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/8

الشرح

Ash-Sharh

İnşirâh

Makkiyya·Aya 8

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

94:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 596

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ﴿١﴾

Hatukukunjulia kifua chako?

—
94:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 596

وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ﴿٢﴾

Na tukakuondolea mzigo wako,

—
94:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

ٱلَّذِىٓ أَنقَضَ ظَهْرَكَ﴿٣﴾

Ulio vunja mgongo wako?

—
94:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ﴿٤﴾

Na tukakunyanyulia utajo wako?

—
94:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا﴿٥﴾

Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,

—
94:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا﴿٦﴾

Hakika pamoja na uzito upo wepesi.

—
94:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ﴿٧﴾

Na ukipata faragha, fanya juhudi.

—
94:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرْغَب﴿٨﴾

Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.

—
Aya IliyotanguliaAd-DuhaaAya InayofuataAt-Tin