Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/11

القارعة

Al-Qari'ah

Kâria

Makkiyya·Aya 11

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

101:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

ٱلْقَارِعَةُ﴿١﴾

Inayo gonga!

—
101:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

مَا ٱلْقَارِعَةُ﴿٢﴾

Nini Inayo gonga?

—
101:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ﴿٣﴾

Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

—
101:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ﴿٤﴾

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

—
101:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ﴿٥﴾

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

—
101:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ﴿٦﴾

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

—
101:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

فَهُوَ فِى عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ﴿٧﴾

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

—
101:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ﴿٨﴾

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

—
101:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌ﴿٩﴾

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

—
101:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ﴿١٠﴾

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

—
101:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

نَارٌ حَامِيَةٌۢ﴿١١﴾

Ni Moto mkali!

—
Aya IliyotanguliaAl-'AdiyatAya InayofuataAt-Takathur