Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/11

العاديات

Al-'Adiyat

Âdiyât

Makkiyya·Aya 11

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

100:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

وَٱلْعَـٰدِيَـٰتِ ضَبْحًا﴿١﴾

Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,

—
100:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

فَٱلْمُورِيَـٰتِ قَدْحًا﴿٢﴾

Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,

—
100:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

فَٱلْمُغِيرَٰتِ صُبْحًا﴿٣﴾

Wakishambulia wakati wa asubuhi,

—
100:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

فَأَثَرْنَ بِهِۦ نَقْعًا﴿٤﴾

Huku wakitimua vumbi,

—
100:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

فَوَسَطْنَ بِهِۦ جَمْعًا﴿٥﴾

Na wakijitoma kati ya kundi,

—
100:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

إِنَّ ٱلْإِنسَـٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌ﴿٦﴾

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!

—
100:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ﴿٧﴾

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!

—
100:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلْخَيْرِ لَشَدِيدٌ﴿٨﴾

Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!

—
100:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ﴿٩﴾

Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?

—
100:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

وَحُصِّلَ مَا فِى ٱلصُّدُورِ﴿١٠﴾

Na yakakusanywa yaliomo vifuani?

—
100:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 600

إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّخَبِيرٌۢ﴿١١﴾

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!

—
Aya IliyotanguliaAz-ZalzalahAya InayofuataAl-Qari'ah