Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/6

الناس

An-Nas

Nâs

Makkiyya·Aya 6

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

114:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ﴿١﴾

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

—
114:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

مَلِكِ ٱلنَّاسِ﴿٢﴾

Mfalme wa wanaadamu,

—
114:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ﴿٣﴾

Mungu wa wanaadamu,

—
114:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ﴿٤﴾

Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

—
114:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ﴿٥﴾

Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

—
114:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 604

مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ﴿٦﴾

Kutokana na majini na wanaadamu.

—
Aya IliyotanguliaAl-Falaq