Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/36

المطففين

Al-Mutaffifin

Mutaffifîn

Makkiyya·Aya 36

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

83:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَيْلٌ لِّلْمُطَفِّفِينَ﴿١﴾

Ole wao hao wapunjao!

—
83:2
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكْتَالُوا۟ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسْتَوْفُونَ﴿٢﴾

Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.

—
83:3
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ﴿٣﴾

Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.

—
83:4
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 587

أَلَا يَظُنُّ أُو۟لَـٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ﴿٤﴾

Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa

—
83:5
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

لِيَوْمٍ عَظِيمٍ﴿٥﴾

Katika Siku iliyo kuu,

—
83:6
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

يَوْمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ﴿٦﴾

Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

—
83:7
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كَلَّآ إِنَّ كِتَـٰبَ ٱلْفُجَّارِ لَفِى سِجِّينٍ﴿٧﴾

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.

—
83:8
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا سِجِّينٌ﴿٨﴾

Unajua nini Sijjin?

—
83:9
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كِتَـٰبٌ مَّرْقُومٌ﴿٩﴾

Kitabu kilicho andikwa.

—
83:10
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ﴿١٠﴾

Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!

—
83:11
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ ٱلدِّينِ﴿١١﴾

Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

—
83:12
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ﴿١٢﴾

Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

—
83:13
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ءَايَـٰتُنَا قَالَ أَسَـٰطِيرُ ٱلْأَوَّلِينَ﴿١٣﴾

Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

—
83:14
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا۟ يَكْسِبُونَ﴿١٤﴾

Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.

—
83:15
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كَلَّآ إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ﴿١٥﴾

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.

—
83:16
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُوا۟ ٱلْجَحِيمِ﴿١٦﴾

Kisha wataingia Motoni!

—
83:17
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

ثُمَّ يُقَالُ هَـٰذَا ٱلَّذِى كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ﴿١٧﴾

Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

—
83:18
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كَلَّآ إِنَّ كِتَـٰبَ ٱلْأَبْرَارِ لَفِى عِلِّيِّينَ﴿١٨﴾

Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.

—
83:19
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ﴿١٩﴾

Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?

—
83:20
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

كِتَـٰبٌ مَّرْقُومٌ﴿٢٠﴾

Kitabu kilicho andikwa.

—
83:21
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

يَشْهَدُهُ ٱلْمُقَرَّبُونَ﴿٢١﴾

Wanakishuhudia walio karibishwa.

—
83:22
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

إِنَّ ٱلْأَبْرَارَ لَفِى نَعِيمٍ﴿٢٢﴾

Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.

—
83:23
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ﴿٢٣﴾

Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.

—
83:24
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

تَعْرِفُ فِى وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ ٱلنَّعِيمِ﴿٢٤﴾

Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,

—
83:25
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

يُسْقَوْنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخْتُومٍ﴿٢٥﴾

Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,

—
83:26
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

خِتَـٰمُهُۥ مِسْكٌ ۚ وَفِى ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ ٱلْمُتَنَـٰفِسُونَ﴿٢٦﴾

Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.

—
83:27
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسْنِيمٍ﴿٢٧﴾

Na mchanganyiko wake ni Tasniim,

—
83:28
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا ٱلْمُقَرَّبُونَ﴿٢٨﴾

Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.

—
83:29
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجْرَمُوا۟ كَانُوا۟ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ يَضْحَكُونَ﴿٢٩﴾

Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.

—
83:30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَإِذَا مَرُّوا۟ بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ﴿٣٠﴾

Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.

—
83:31
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓا۟ إِلَىٰٓ أَهْلِهِمُ ٱنقَلَبُوا۟ فَكِهِينَ﴿٣١﴾

Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.

—
83:32
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوٓا۟ إِنَّ هَـٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ﴿٣٢﴾

Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.

—
83:33
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 588

وَمَآ أُرْسِلُوا۟ عَلَيْهِمْ حَـٰفِظِينَ﴿٣٣﴾

Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.

—
83:34
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

فَٱلْيَوْمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ مِنَ ٱلْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ﴿٣٤﴾

Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,

—
83:35
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ﴿٣٥﴾

Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.

—
83:36
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 589

هَلْ ثُوِّبَ ٱلْكُفَّارُ مَا كَانُوا۟ يَفْعَلُونَ﴿٣٦﴾

Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?

—
Aya IliyotanguliaAl-InfitarAya InayofuataAl-Inshiqaq