Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/8

التين

At-Tin

Tîn

Makkiyya·Aya 8

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

95:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ﴿١﴾

Naapa kwa tini na zaituni!

—
95:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

وَطُورِ سِينِينَ﴿٢﴾

Na kwa Mlima wa Sinai!

—
95:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

وَهَـٰذَا ٱلْبَلَدِ ٱلْأَمِينِ﴿٣﴾

Na kwa mji huu wenye amani!

—
95:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَـٰنَ فِىٓ أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ﴿٤﴾

Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.

—
95:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

ثُمَّ رَدَدْنَـٰهُ أَسْفَلَ سَـٰفِلِينَ﴿٥﴾

Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!

—
95:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ﴿٦﴾

Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.

—
95:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِٱلدِّينِ﴿٧﴾

Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?

—
95:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 597

أَلَيْسَ ٱللَّهُ بِأَحْكَمِ ٱلْحَـٰكِمِينَ﴿٨﴾

Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?

—
Aya IliyotanguliaAsh-SharhAya InayofuataAl-'Alaq