Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/8

الزلزلة

Az-Zalzalah

Zilzâl

Madaniyya·Aya 8

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

99:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

إِذَا زُلْزِلَتِ ٱلْأَرْضُ زِلْزَالَهَا﴿١﴾

Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

—
99:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

وَأَخْرَجَتِ ٱلْأَرْضُ أَثْقَالَهَا﴿٢﴾

Na itakapo toa ardhi mizigo yake!

—
99:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

وَقَالَ ٱلْإِنسَـٰنُ مَا لَهَا﴿٣﴾

Na mtu akasema: Ina nini?

—
99:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

يَوْمَئِذٍ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا﴿٤﴾

Siku hiyo itahadithia khabari zake.

—
99:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا﴿٥﴾

Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

—
99:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

يَوْمَئِذٍ يَصْدُرُ ٱلنَّاسُ أَشْتَاتًا لِّيُرَوْا۟ أَعْمَـٰلَهُمْ﴿٦﴾

Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

—
99:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًا يَرَهُۥ﴿٧﴾

Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!

—
99:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 599

وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ شَرًّا يَرَهُۥ﴿٨﴾

Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!

—
Aya IliyotanguliaAl-BayyinahAya InayofuataAl-'Adiyat