Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/56

المدثر

Al-Muddaththir

Müddessir

Makkiyya·Aya 56

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

74:1
Juz 29
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْمُدَّثِّرُ﴿١﴾

Ewe uliye jigubika!

—
74:2
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

قُمْ فَأَنذِرْ﴿٢﴾

Simama uonye!

—
74:3
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَرَبَّكَ فَكَبِّرْ﴿٣﴾

Na Mola wako Mlezi mtukuze!

—
74:4
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَثِيَابَكَ فَطَهِّرْ﴿٤﴾

Na nguo zako, zisafishe.

—
74:5
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَٱلرُّجْزَ فَٱهْجُرْ﴿٥﴾

Na yaliyo machafu yahame!

—
74:6
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَلَا تَمْنُن تَسْتَكْثِرُ﴿٦﴾

Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.

—
74:7
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَلِرَبِّكَ فَٱصْبِرْ﴿٧﴾

Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!

—
74:8
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

فَإِذَا نُقِرَ فِى ٱلنَّاقُورِ﴿٨﴾

Basi litapo pulizwa barugumu,

—
74:9
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

فَذَٰلِكَ يَوْمَئِذٍ يَوْمٌ عَسِيرٌ﴿٩﴾

Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.

—
74:10
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

عَلَى ٱلْكَـٰفِرِينَ غَيْرُ يَسِيرٍ﴿١٠﴾

Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.

—
74:11
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

ذَرْنِى وَمَنْ خَلَقْتُ وَحِيدًا﴿١١﴾

Niache peke yangu na niliye muumba;

—
74:12
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَجَعَلْتُ لَهُۥ مَالًا مَّمْدُودًا﴿١٢﴾

Na nikamjaalia awe na mali mengi,

—
74:13
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَبَنِينَ شُهُودًا﴿١٣﴾

Na wana wanao onekana,

—
74:14
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمْهِيدًا﴿١٤﴾

Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.

—
74:15
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

ثُمَّ يَطْمَعُ أَنْ أَزِيدَ﴿١٥﴾

Kisha anatumai nimzidishie!

—
74:16
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

كَلَّآ ۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِـَٔايَـٰتِنَا عَنِيدًا﴿١٦﴾

Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!

—
74:17
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

سَأُرْهِقُهُۥ صَعُودًا﴿١٧﴾

Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.

—
74:18
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 575

إِنَّهُۥ فَكَّرَ وَقَدَّرَ﴿١٨﴾

Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.

—
74:19
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

فَقُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ﴿١٩﴾

Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!

—
74:20
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

ثُمَّ قُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ﴿٢٠﴾

Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!

—
74:21
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

ثُمَّ نَظَرَ﴿٢١﴾

Kisha akatazama,

—
74:22
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ﴿٢٢﴾

Kisha akakunja kipaji, na akanuna.

—
74:23
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

ثُمَّ أَدْبَرَ وَٱسْتَكْبَرَ﴿٢٣﴾

Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.

—
74:24
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

فَقَالَ إِنْ هَـٰذَآ إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ﴿٢٤﴾

Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.

—
74:25
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

إِنْ هَـٰذَآ إِلَّا قَوْلُ ٱلْبَشَرِ﴿٢٥﴾

Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.

—
74:26
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

سَأُصْلِيهِ سَقَرَ﴿٢٦﴾

Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.

—
74:27
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا سَقَرُ﴿٢٧﴾

Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?

—
74:28
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

لَا تُبْقِى وَلَا تَذَرُ﴿٢٨﴾

Haubakishi wala hausazi.

—
74:29
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

لَوَّاحَةٌ لِّلْبَشَرِ﴿٢٩﴾

Unababua ngozi iwe nyeusi.

—
74:30
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

عَلَيْهَا تِسْعَةَ عَشَرَ﴿٣٠﴾

Juu yake wapo kumi na tisa.

—
74:31
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَمَا جَعَلْنَآ أَصْحَـٰبَ ٱلنَّارِ إِلَّا مَلَـٰٓئِكَةً ۙ وَمَا جَعَلْنَا عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا۟ لِيَسْتَيْقِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَـٰبَ وَيَزْدَادَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِيمَـٰنًا ۙ وَلَا يَرْتَابَ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَـٰبَ وَٱلْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَٱلْكَـٰفِرُونَ مَاذَآ أَرَادَ ٱللَّهُ بِهَـٰذَا مَثَلًا ۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهْدِى مَن يَشَآءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِىَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ﴿٣١﴾

Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.

—
74:32
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

كَلَّا وَٱلْقَمَرِ﴿٣٢﴾

Hasha! Naapa kwa mwezi!

—
74:33
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَٱلَّيْلِ إِذْ أَدْبَرَ﴿٣٣﴾

Na kwa usiku unapo kucha!

—
74:34
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَٱلصُّبْحِ إِذَآ أَسْفَرَ﴿٣٤﴾

Na kwa asubuhi inapo pambazuka!

—
74:35
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

إِنَّهَا لَإِحْدَى ٱلْكُبَرِ﴿٣٥﴾

Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!

—
74:36
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

نَذِيرًا لِّلْبَشَرِ﴿٣٦﴾

Ni onyo kwa binaadamu,

—
74:37
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

لِمَن شَآءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ﴿٣٧﴾

Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.

—
74:38
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

كُلُّ نَفْسٍۭ بِمَا كَسَبَتْ رَهِينَةٌ﴿٣٨﴾

Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.

—
74:39
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

إِلَّآ أَصْحَـٰبَ ٱلْيَمِينِ﴿٣٩﴾

Isipo kuwa watu wa kuliani.

—
74:40
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

فِى جَنَّـٰتٍ يَتَسَآءَلُونَ﴿٤٠﴾

Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana

—
74:41
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

عَنِ ٱلْمُجْرِمِينَ﴿٤١﴾

Khabari za wakosefu:

—
74:42
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

مَا سَلَكَكُمْ فِى سَقَرَ﴿٤٢﴾

Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?

—
74:43
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

قَالُوا۟ لَمْ نَكُ مِنَ ٱلْمُصَلِّينَ﴿٤٣﴾

Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.

—
74:44
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ ٱلْمِسْكِينَ﴿٤٤﴾

Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.

—
74:45
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ ٱلْخَآئِضِينَ﴿٤٥﴾

Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.

—
74:46
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ ٱلدِّينِ﴿٤٦﴾

Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.

—
74:47
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 576

حَتَّىٰٓ أَتَىٰنَا ٱلْيَقِينُ﴿٤٧﴾

Mpaka yakini ilipo tufikia.

—
74:48
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 577

فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَـٰعَةُ ٱلشَّـٰفِعِينَ﴿٤٨﴾

Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.

—
74:49
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 577

فَمَا لَهُمْ عَنِ ٱلتَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ﴿٤٩﴾

Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?

—
74:50
Juz 29 · Hizb 58 · Ukurasa 577

كَأَنَّهُمْ حُمُرٌ مُّسْتَنفِرَةٌ﴿٥٠﴾

Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,

—
Aya IliyotanguliaAl-MuzzammilAya InayofuataAl-Qiyamah