Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/17

الطارق

At-Tariq

Târık

Makkiyya·Aya 17

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

86:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَٱلسَّمَآءِ وَٱلطَّارِقِ﴿١﴾

Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!

—
86:2
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلطَّارِقُ﴿٢﴾

Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?

—
86:3
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

ٱلنَّجْمُ ٱلثَّاقِبُ﴿٣﴾

Ni Nyota yenye mwanga mkali.

—
86:4
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

إِن كُلُّ نَفْسٍ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌ﴿٤﴾

Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.

—
86:5
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

فَلْيَنظُرِ ٱلْإِنسَـٰنُ مِمَّ خُلِقَ﴿٥﴾

Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

—
86:6
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

خُلِقَ مِن مَّآءٍ دَافِقٍ﴿٦﴾

Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

—
86:7
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

يَخْرُجُ مِنۢ بَيْنِ ٱلصُّلْبِ وَٱلتَّرَآئِبِ﴿٧﴾

Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

—
86:8
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

إِنَّهُۥ عَلَىٰ رَجْعِهِۦ لَقَادِرٌ﴿٨﴾

Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.

—
86:9
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

يَوْمَ تُبْلَى ٱلسَّرَآئِرُ﴿٩﴾

Siku zitakapo dhihirishwa siri.

—
86:10
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

فَمَا لَهُۥ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ﴿١٠﴾

Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.

—
86:11
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلرَّجْعِ﴿١١﴾

Naapa kwa mbingu yenye marejeo!

—
86:12
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَٱلْأَرْضِ ذَاتِ ٱلصَّدْعِ﴿١٢﴾

Na kwa ardhi inayo pasuka!

—
86:13
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

إِنَّهُۥ لَقَوْلٌ فَصْلٌ﴿١٣﴾

Hakika hii ni kauli ya kupambanua.

—
86:14
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَمَا هُوَ بِٱلْهَزْلِ﴿١٤﴾

Wala si mzaha.

—
86:15
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

إِنَّهُمْ يَكِيدُونَ كَيْدًا﴿١٥﴾

Hakika wao wanapanga mpango.

—
86:16
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

وَأَكِيدُ كَيْدًا﴿١٦﴾

Na Mimi napanga mpango.

—
86:17
Juz 30 · Hizb 59 · Ukurasa 591

فَمَهِّلِ ٱلْكَـٰفِرِينَ أَمْهِلْهُمْ رُوَيْدًۢا﴿١٧﴾

Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.

—
Aya IliyotanguliaAl-BurujAya InayofuataAl-A'la