Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/19

الأعلى

Al-A'la

A'lâ

Makkiyya·Aya 19

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

87:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

سَبِّحِ ٱسْمَ رَبِّكَ ٱلْأَعْلَى﴿١﴾

Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,

—
87:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

ٱلَّذِى خَلَقَ فَسَوَّىٰ﴿٢﴾

Aliye umba, na akaweka sawa,

—
87:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

وَٱلَّذِى قَدَّرَ فَهَدَىٰ﴿٣﴾

Na ambaye amekadiria na akaongoa,

—
87:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

وَٱلَّذِىٓ أَخْرَجَ ٱلْمَرْعَىٰ﴿٤﴾

Na aliye otesha malisho,

—
87:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

فَجَعَلَهُۥ غُثَآءً أَحْوَىٰ﴿٥﴾

Kisha akayafanya makavu, meusi.

—
87:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

سَنُقْرِئُكَ فَلَا تَنسَىٰٓ﴿٦﴾

Tutakusomesha wala hutasahau,

—
87:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

إِلَّا مَا شَآءَ ٱللَّهُ ۚ إِنَّهُۥ يَعْلَمُ ٱلْجَهْرَ وَمَا يَخْفَىٰ﴿٧﴾

Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.

—
87:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

وَنُيَسِّرُكَ لِلْيُسْرَىٰ﴿٨﴾

Na tutakusahilishia yawe mepesi.

—
87:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

فَذَكِّرْ إِن نَّفَعَتِ ٱلذِّكْرَىٰ﴿٩﴾

Basi kumbusha, kama kukumbusha kunafaa.

—
87:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 591

سَيَذَّكَّرُ مَن يَخْشَىٰ﴿١٠﴾

Atakumbuka mwenye kuogopa.

—
87:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَيَتَجَنَّبُهَا ٱلْأَشْقَى﴿١١﴾

Na atajitenga mbali nayo mpotovu,

—
87:12
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

ٱلَّذِى يَصْلَى ٱلنَّارَ ٱلْكُبْرَىٰ﴿١٢﴾

Ambaye atauingia Moto mkubwa.

—
87:13
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ﴿١٣﴾

Tena humo hatakufa wala hawi hai.

—
87:14
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ﴿١٤﴾

Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.

—
87:15
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَذَكَرَ ٱسْمَ رَبِّهِۦ فَصَلَّىٰ﴿١٥﴾

Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.

—
87:16
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

بَلْ تُؤْثِرُونَ ٱلْحَيَوٰةَ ٱلدُّنْيَا﴿١٦﴾

Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!

—
87:17
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَٱلْـَٔاخِرَةُ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰٓ﴿١٧﴾

Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.

—
87:18
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

إِنَّ هَـٰذَا لَفِى ٱلصُّحُفِ ٱلْأُولَىٰ﴿١٨﴾

Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,

—
87:19
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

صُحُفِ إِبْرَٰهِيمَ وَمُوسَىٰ﴿١٩﴾

Vitabu vya Ibrahimu na Musa.

—
Aya IliyotanguliaAt-TariqAya InayofuataAl-Ghashiyah