Ruka hadi Maudhui
NurVerse
QuraniNyakati za SwalaKalendaHadithiDua
Ad
Ad
Ad
Ad
NurVerse

Soma Qurani, fuatilia nyakati za swala, fanya dua, na utajirisha maisha yako ya Kiislamu.

© 2026 NurVerse. Haki zote zimehifadhiwa.

Sakinisha ProgramuWasilianaSera ya FaraghaMasharti ya Matumizi
Orodha ya Sura
Mtazamo wa Mushaf
0/26

الغاشية

Al-Ghashiyah

Gâşiye

Makkiyya·Aya 26

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

88:1
Juz 30
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

هَلْ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ٱلْغَـٰشِيَةِ﴿١﴾

Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?

—
88:2
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَـٰشِعَةٌ﴿٢﴾

Siku hiyo nyuso zitainama,

—
88:3
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ﴿٣﴾

Zikifanya kazi, nazo taabani.

—
88:4
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً﴿٤﴾

Ziingie katika Moto unao waka -

—
88:5
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ ءَانِيَةٍ﴿٥﴾

Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.

—
88:6
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ﴿٦﴾

Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.

—
88:7
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِى مِن جُوعٍ﴿٧﴾

Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.

—
88:8
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ﴿٨﴾

Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.

—
88:9
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ﴿٩﴾

Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,

—
88:10
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

فِى جَنَّةٍ عَالِيَةٍ﴿١٠﴾

Katika Bustani ya juu.

—
88:11
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَـٰغِيَةً﴿١١﴾

Hawatasikia humo upuuzi.

—
88:12
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ﴿١٢﴾

Humo imo chemchem inayo miminika.

—
88:13
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ﴿١٣﴾

Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,

—
88:14
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ﴿١٤﴾

Na bilauri zilizo pangwa,

—
88:15
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ﴿١٥﴾

Na matakia safu safu,

—
88:16
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَزَرَابِىُّ مَبْثُوثَةٌ﴿١٦﴾

Na mazulia yaliyo tandikwa.

—
88:17
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى ٱلْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ﴿١٧﴾

Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?

—
88:18
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَإِلَى ٱلسَّمَآءِ كَيْفَ رُفِعَتْ﴿١٨﴾

Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?

—
88:19
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَإِلَى ٱلْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ﴿١٩﴾

Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?

—
88:20
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

وَإِلَى ٱلْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ﴿٢٠﴾

Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?

—
88:21
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

فَذَكِّرْ إِنَّمَآ أَنتَ مُذَكِّرٌ﴿٢١﴾

Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.

—
88:22
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 592

لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ﴿٢٢﴾

Wewe si mwenye kuwatawalia.

—
88:23
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 593

إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ﴿٢٣﴾

Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,

—
88:24
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 593

فَيُعَذِّبُهُ ٱللَّهُ ٱلْعَذَابَ ٱلْأَكْبَرَ﴿٢٤﴾

Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!

—
88:25
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 593

إِنَّ إِلَيْنَآ إِيَابَهُمْ﴿٢٥﴾

Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.

—
88:26
Juz 30 · Hizb 60 · Ukurasa 593

ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم﴿٢٦﴾

Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!

—
Aya IliyotanguliaAl-A'laAya InayofuataAl-Fajr